Nashangaa kuona watu wanakesha kutwa usiku kucha kupiga kelele eti wanaomba na kusifu, ni upumbavu wa hali ya juu kushobokea watu waliowatesa ndugu zetu.
Vilevile, nashangaa watu wanashinda msikitini kutwa nzima kupiga umbea na kusahau kwamba nao waliwachukua utumwani.
Pia, nashangaa hao...
Habari wakuu,
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na ongezeko la kampeni kubwaa sana ya kupinga Vita dini na kusema dini ni vitu vya kuletwa na majahzi tu zisifuatwe, na maneno haya utakuta wanaoongea wala siyo atheists bali ni watu wanaoamini katika Mungu sema tu wanadai kuwa mfumo wa kumuabudu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.