Maisha ya mwanadamu yanahitaji vitu vikuu vinne:-
Chakula
Sehemu ya kulala
Afya njema
Mavazi
Chakula
Mwanadamu lazima ahakikishe, miaka yote anapata chakula stahiki, iwe bei imepanda au kushuka, na hii ataitimiza kwa kujiwekea miradi mbali mbali ya kibiashara, kilimo, na ufugaji. Ili...