Dawa ya kuacha punyeto hii hapa
Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu.
Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi...
Habari zenu MMU,
Mimi ni kijana mwenzenu leo acha nifunguke nipate msaada wa mawazo.
Mimi nilianza nyeto mwaka 2014 baada ya kufundishwa na mtoto wa jirani yetu. Tokea hapo nimepiga nyeto sana wastani mara tatu kwa wiki!
Sasa katika pita pita zangu mitandaoni nikaona bandiko kuwa nyetu...
wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto...
NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU
SOMO MUHIMU*
👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾
Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:-
➡️Andaa calendar ya mwezi mzima
➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo.
➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka...
Jamani hamjambo?
Mimi Mimiamadiwenani, nilianza maisha yangu yangu ya punyeto rasmi nikiwa kidato cha sita. Hii ilikuwa ni kwa ushawishi wa rafiki zangu wa karibu, ukizingatia shule niliyosoma ni ya wavulana tupu. Unaweza uka imagine hapo.
Nilianza mdogo mdogo kwa ila nilianza kuwa addicted as...
Poleni na changamoto za hapa na pale, wanajamii wenzangu.
Naomba kupewa mwongozo kwenye hili suala (ruksa kunifokea).
Ukiachana na changamoto nyingine, suala la ngono nalo linaongoza kuharibu akili na maisha kiujumla hasa kwa vijana wa kiume wa miaka 18-29. Huu sio utafiti rasmi ila naongelea...
Nenda kachemshe bamia, hakikisha hutii chumvi kabisa au tia kidogo tu kama huwezi kula bila chumvi.
Chemsha kidogo (isibadilike rangi).
Kula kabla hazijapoa kabisa. Fanya hivyo kwa siku 12-16 mfululizo angalau mara moja kwa siku moja.
Addiction ya punyeto itakata. Utapiga vizuri kwenye game...
Punyeto ni nini?
Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi.
Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine.
Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi...
dawa
kuachapunyeto
kujichua
madhara
maisha
miaka
mitazamo
mke
msaada
ndoa
picha
punyeto
tendo la ndoa
ugumba
uhusiano
uraibu
utafiti
utu
video
vijana
vitu
wanaume
wanawake
Habari wana jamiiforum,
Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya njema hadi muda huu, natumai na ninyi ni wazima, kama ni mgonjwa mungu akupe nafuu uweze kupona.
Nimeamua kuchukua nafasi hii kuelezea athari za video za ngono (porn) katika ubongo wa mwanaadamu, hasa kwa sisi vijana...
Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a “a little help from ur hand” (kupiga puli au punyeto sounds manly) siyo kwa wanaume tu bali hata wanawake tunafanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko “comfortable” kulizungumzia au kukili kuwa tukizidiwa huwa tunajisaidia. Wakati mwingine mtu unashindwa kabisa...
BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU
Habari wanaJf?
Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka 2000, alisema alianzia kwa kufanya mara moja kwa siku hadi ikafikia kipindi siku kwake ikawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.