kuacha punyeto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwizukulu mgikuru

    Dawa ya kuacha punyeto hii hapa

    Dawa ya kuacha punyeto hii hapa Nenda kwenye duka za asili nunua unga wa kibiriti upelele changanya na mafuta ya mizeituni, nunua chumvi ya mawe walau nusu. Weka chumvi ya mawe kwenye maji usiku jitahidi usiogee bafuni, jitamwagie hayo maji yaenee mwilini pote...ukimaliza jifute Na taulo safi...
  2. H

    Uraibu wa punyeto utanimaliza, nifanyeje niweze kuacha?

    Habari zenu MMU, Mimi ni kijana mwenzenu leo acha nifunguke nipate msaada wa mawazo. Mimi nilianza nyeto mwaka 2014 baada ya kufundishwa na mtoto wa jirani yetu. Tokea hapo nimepiga nyeto sana wastani mara tatu kwa wiki! Sasa katika pita pita zangu mitandaoni nikaona bandiko kuwa nyetu...
  3. fredick

    Jinsi ya kuacha punyeto

    wana group nimegundua watu wanapitia magumu kuhusu punyeto... NAAMINI KUPITIA HILI SOMO UTANISHUKURU SOMO MUHIMU* 👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾👇🏾 Ili uweze kuacha kupiga punyeto fanya yafuatayo:- ➡️Andaa calendar ya mwezi mzima ➡️Kisha amua na sema nimeacha kuanzia leo. ➡️Kisha jiwekee target mfano, nataka...
  4. M

    Safari yangu ya kuacha punyeto.

    Jamani hamjambo? Mimi Mimiamadiwenani, nilianza maisha yangu yangu ya punyeto rasmi nikiwa kidato cha sita. Hii ilikuwa ni kwa ushawishi wa rafiki zangu wa karibu, ukizingatia shule niliyosoma ni ya wavulana tupu. Unaweza uka imagine hapo. Nilianza mdogo mdogo kwa ila nilianza kuwa addicted as...
  5. Z

    Tujadili kuhusu madhara ya punyeto na jinsi ya kuacha

    .
  6. 0

    Namna ya kuachana na tabia za ngono zisizofaa: Maturbation & Ngono za kulipia

    Poleni na changamoto za hapa na pale, wanajamii wenzangu. Naomba kupewa mwongozo kwenye hili suala (ruksa kunifokea). Ukiachana na changamoto nyingine, suala la ngono nalo linaongoza kuharibu akili na maisha kiujumla hasa kwa vijana wa kiume wa miaka 18-29. Huu sio utafiti rasmi ila naongelea...
  7. Mwamuzi wa Tanzania

    Haya wapiga punyeto leo nawapa dawa ya kuacha punyeto bure

    Nenda kachemshe bamia, hakikisha hutii chumvi kabisa au tia kidogo tu kama huwezi kula bila chumvi. Chemsha kidogo (isibadilike rangi). Kula kabla hazijapoa kabisa. Fanya hivyo kwa siku 12-16 mfululizo angalau mara moja kwa siku moja. Addiction ya punyeto itakata. Utapiga vizuri kwenye game...
  8. K

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Punyeto ni nini? Kufanya au kupiga punyeto, ni tendo la kutomasa sehemu zako mwenyewe za siri ili kujisisimua kimapenzi. Kwa hivyo katika kupiga punyeto hamna hofu ya kuambukizwa magonjwa yanayosambazwa kupitia ngono, kwani haimshirikishi mtu mwengine. Punyeto ni toshelezo kamili la kimapenzi...
  9. Allist

    SoC01 Acha Punyeto, unaharibu ubongo na nguvu zako

    Habari wana jamiiforum, Kwanza kabisa namshukuru Mungu kwa kunipa afya njema hadi muda huu, natumai na ninyi ni wazima, kama ni mgonjwa mungu akupe nafuu uweze kupona. Nimeamua kuchukua nafasi hii kuelezea athari za video za ngono (porn) katika ubongo wa mwanaadamu, hasa kwa sisi vijana...
  10. mjizu123

    Kujichua ama kupiga punyeto kwa wanawake

    Kujichua a.k.a kujichezea a.k.a “a little help from ur hand” (kupiga puli au punyeto sounds manly) siyo kwa wanaume tu bali hata wanawake tunafanya hivyo ila wengi wetu huwa hatuko “comfortable” kulizungumzia au kukili kuwa tukizidiwa huwa tunajisaidia. Wakati mwingine mtu unashindwa kabisa...
  11. Foxhound

    Mjadala: Je, ni jinsi gani mtu anaweza kuacha punyeto?

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU Habari wanaJf? Hii ni kutoka kwa rafiki yangu mmoja wa karibu sana. Amenisimulia kuwa alianza kufanya mchezo huo tangu yupo darasa la saba hiyo ikiwa mwaka 2000, alisema alianzia kwa kufanya mara moja kwa siku hadi ikafikia kipindi siku kwake ikawa...
Back
Top Bottom