kuachana kwa wanandoa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Je, ni kweli ukimuacha mwanamke/ mke uliechuma naye mali unaweza kufilisika?

    Habariii za humu wana Jamii, Mara nyingi nimekutana na uzi nyingi sana mfano Kama uzi wa Analyse INSIDER MAN humu na watu kadhaa wakisema kwamba eti ukiwa katika harakati za kutafuta maisha na ukawa na mwenza/mke wako mmojaa katika utafutajii na kwa rehema za mwenyezi mungu ukazipata mali. Je...
  2. MREJESHO: Ulishawahi kusingiziwa ujauzito wakati wewe si muhusika? Je, ulifanyaje kukabiliana na hali hiyo?

    Habari zenu wakuu? I hope mko poaa wanajukwaa. Mwaka 2020 niliandika post hii kuhusu binti mmoja ambaye alikua na ujauzito wangu lakini mimi kama muhusika nilionesha kutilia shaka ujauzito huo, na sababu za mimi kuwa na mashaka niliziweka katika post hio >>>Ulishawahi kusingiziwa ujauzito...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…