kuachana na mwanamke

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. F

    Maumivu ya kuachana na mwanamke

    Kabla sijaoa niliachana na wanawake kadhaa,ambao tulipendana sana nao,na niliumia sana moyoni.Wa kwanza ni Tana,ama nilimpenda sana lakini wakati huo kipato changu hakikuwa kikubwa,akachukuliwa na mkaka mmoja na akamtafutia kazi ya kujishikiza,aisee moyo uliniuma sana lakini ndio hivyo,hatahivyo...
  2. Gulugujatza

    Lipi ni bora, kuwa muhuni yani nitoke nje ya ndoa au kuachana na huyu mwanamke?

    Habarini za JIONI wakuu? Mimi ni kijana wa miaka 32 mnamo mwaka 2019 nilibahatika kupata mwanamke kutoka Kanda ya ziwa{Tabora}..,nilimpenda sana na nahisi nae alinipenda japo siwezi semea nafsi ya mtu. Ilipofika 2020 alihitaji sana kukaa NAMI nyumba moja kama mume na mke..,kweli KUTOKANA na...
  3. Mjukuu wa kigogo

    Mwanaume, ukiona tabia za Mwanamke zimekushinda muache aende na si kumpiga

    Kwa mliooa kama mke anachapwa sana, please move on. Mambo ya kupiga mwanamke yatakufikisha pabaya. Utaharibu future Yako.
  4. Adolph Jr

    Nataka kuachana na mwanamke

    Ni muda mwingine tena. Anaomba ushauri huyu rafiki yangu mwanzoni alinishauri sana nioe tufanane ila nikamwambia mimi sina kazi na siwezi mtunza mke, leo yamemkuta. "Ni miaka minne sasa tangu ampate shemeji/wifi yenu ila kiukweli, mambo aliyofanya alipokuwa single ni makubwa na mengi kuliko...
  5. APPROXIMATELY

    Leo hii nimetapeliwa

    Daaaah sona habari na nyiee... Nimetapeliwa 15000,hii ela siningekunywa zangu beer hata 5.
  6. Azoge Ze Blind Baga

    Ipi njia bora ya kuachana na mwanamke?

    Kuna mwanamke nipo nae kwenye mahusiano. Ila kwa sasa sina hisia naye kabisa, natafuta njia nzuri ya kumpiga chini. Je, nimchane simtaki au nimpotezee kimya kimya, maana anatuma tuma ujumbe kila muda hadi kero? Wajuvi ipi njia nzuri na ya amani ya kumpiga chini?
Back
Top Bottom