kuachwa na mpenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kwanini na ilikuaje ukapigwa kibuti na kuachwa na mpenzi wako

    Nini hasa ilikua sababu ya msingi hata ukaachwa na mpenzi wako na mlikua mnapendana sana? Umejifunza nini kwenye mahusiano yako mapya dhidi ya ulikopigwa chini na kinaimarisha uaminifu na upendo zaidi kwenye mapenzi yenu? kuna unacho kimiss? pole kwa mahusiano ya kimapenzi kichefuchefu my...
  2. Arusha: Kijana mmoja ajinyonga baada ya kuachwa na mpenzi wake wa chuo

    Amani kwenu watumishi wa MUNGU One Man down again Ni denzi kinoma huyu chali ya chuga He rest down because of love MUNGU MWENYEZI awatie nguvu wana familia LONDON BOY
  3. Hivi wewe ulivyoachwa na mpenzi wako alikwambia nini au ulivyomuacha ulimwambiaje?

    Sijui ndio nimeachwa au sijui bado nipo kwenye penzi, hata sielewi, maana hizi dalili za mpenzi wangu naona kama mguu mmoja ndani mguu mmoja nje. Hivi mtu akikuacha anakwambia au anakaa kimya tu?
  4. Ulichukua hatua gani ulipoachwa ghafla?

    Mapenzi yanaumiza sana especially unapopenda pale usipopendwa. Just imagine upo kwenye mahusiano mapenzi yamenoga ajabu simu,meseji kila dakika. Kila siku mtoto anakuja kuifinyia kwa ndani miuno kama paka shume aliyebalehe juzi mpaka unasema Mungu anipe nini mimi? Ghafla bin vuu katika hali...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…