Naomba kuuliza hivi nimenunua mzigo kwakutumia application ya alibaba kutoka china then mzigo akapewa Agent. Agent akanitajia gharama zake.
1.Je, mzigo ukifika nitahitajika kulipia kodi?
2. Au kodi inakuwa imejumuishwa kwenye gharama ya Agnt.
3.Au kodi inakatwa kwa bidha kubwa kama pikipiki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.