Nimepata nafasi ya kusoma chuo kikuu nchini Sweden.
Lakini mipango yangu ya kwenda huko nimeona ni vema niende mwakani 2025.
Chuo wanataka niwape reason ya kupostpone maana niliwaambia nna changamoto ya kiafya.
Naomba ushauri wako ni ugonjwa gani nikiuweka plus ushaidi wa daktari itakuwa...