kuahirishwa kariakoo derby

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Legacy

    Kwa kipengele hiki Yanga hata waende FIFA hawatapewa point tatu

    NImekua nikifuatilia maoni ya wadau wengi kuhusu sakata la kuahirishwa mechi kati ya Simba na Yanga mnano Tarehe 8.3.2025. Baada ya club ya Simba kuzuiwa kufanya mazoezi waliandika kwa Umma kuwa hawataweza kucheza mchezo huo tajwa,Bodi ya Ligi walikuja na barua hii na kahirisha mechi. Bila...
  2. S

    Inawezekana kuna rushwa imetumika katika kuhujumu mchezo baina ya Simba na Yanga uliokuwa ufanyike jana tarehe 08/03/2025

    Huu ndio mtazamo wangu, na ili ukweli ujulikane, iundwe kamati ya uchunguzi na kamati hiyo iundwe na CAF au FIFA na wajumbe baadhi watoke nje ya nchi na ikiwezekana wajumbe wote watoke nje ya nchi(wasiwe watanzania). Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya...
  3. jingalao

    Bodi ya Ligi imetoa wapi kanuni zake? Je, zimejikita kwenye kanuni za IFAB?

    baada ya huu mkanganyiko nimeendelea kutafuta marejeo ya kisheria yanayohusu mpira wa soka duniani. bado sijaona kanuni hizi za bodi ya ligi yetu walizitohoa kutokea wapi. na matokeo yake bodi imejipa mamlaka isiyohusika nayo. kama huo ndio ukweli basi TFF na bodi ya ligi zitafaa kifumuliwa na...
  4. Allen Kilewella

    Msikilize Manara anavyoizungumzia Deby

    Haya mambo yapo jinsi yalivyo. Kama kuna kanuni ni lazima ifuatwe janja janja ni uhuni kwenye mpira. Flash back!
  5. Gudasta

    TFF toeni tamko kuhusu mechi ya Yanga vs Simba watu waendelee na mishe nyingine

    Toeni tamko mapema, ili watu wajue Nini kinaendelea, watu wana ratiba zao za mambo yao ...kama mechi hamna utaarifuni umma mapema.
  6. M

    Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

    Ahlan bik Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika. Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo...
Back
Top Bottom