Habari za asubuhi ndugu,
Nawiwa kuanzisha biashara ya super market naomba kufahamu kwa wale ambao wamewahi kufanya biashara hii natakiwa kuzingatia nini na nini?
Ni vitu gani havipaswi kukosekana kabisa kwenye hiyo super market (Min Market)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.