Habari za asubuhi,
Samahani mimi ni mgeni humu japokuwa nimekuwa mfuatiliaji wa habari mbalimbali za JamiiForums. nimeamua kuwa mwanafamilia ili na mimi niwe nachangia hoja,
Leo nitaomba mnisaidie mwongozo coz humu kuna watu tofauti tofauti.
Mimi ni mkristo na muumini wa kanisa la KKKT, toka...