kubadili majina

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Utaratibu wa kubadili majina ya mtoto shuleni ukoje??

    WKuu Nina kijana yuko form 3 anaingia form four. Sasa majina anayotumia jina la katikat siyo sahii nataka nibadili.Shuleni walidai haiwezekani. Je utaratibu wa kisheria ukoje
  2. H

    Kwanini mtu akibadili majina vyeti vyake na NIDA bado vinabaki na majina ya zamani?

    Mfano unakuta wakati nazaliwa , wazazi Kwa uono wao wakaamua kunipa jina "MATATIZO" MATESO nk , au nilikua mkristu nikasilimu nikataka kwenda na jina la dini husika, au nilikua muislam nikabatizwa nikataka kwenda na jina la biblia Swali langu ni nini shida inayofanya kusiwe na system ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…