kubaka

Kubaka Castle (久場嘉城, Kubaka jō, Okinawan: Kubaka Gushiku) is a Ryukyuan gusuku located near the shore of Irie Bay in southern Miyakojima, Okinawa, in former Ueno Village. It is the only castle on Miyako Island where the original castle layout is still visible.

View More On Wikipedia.org
  1. The Supreme Conqueror

    Pandora Box:Trump anafungua ya JFK na MLK US huku TZ tunasubiri ya JPM,JK na SSH kubaka Katiba ya CCM na JMT je,Mungu kampa TAL kazi hiyo maalum?

    Katika hatua iliyoshangaza wengi, Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa agizo maalum la kuwekwa hadharani kwa taarifa za siri zilizofichwa kwa miongo kadhaa. Kuhusu mauaji ya Rais John F. Kennedy (JFK), mdogo wake Robert F. Kennedy (RFK), na kiongozi mashuhuri wa haki za binadamu, Martin...
  2. JanguKamaJangu

    Hukumu ya "Waliotumwa na Afande" kutolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024

    Hukumu ya kesi ya kubaka kwa kundi na kumwingilia kinyume cha maumbile binti, mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam inayowakabili washtakiwa wanne wakiwamo askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na wa Magereza, itatolewa leo Jumatatu, Septemba 30, 2024. Kesi hiyo ya jinai...
  3. Blood of Jesus

    Kuhusu sakata la skendo ya kubaka na kulawiti

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Theopista Mallya amesema jalada la kesi ya vijana watano wanaotuhumiwa kutekeleza tukio la ubakaji na ulawiti wa binti anayedaiwa kuwa mkazi wa Yombo Dovya, jijini Dar es Salaam limekamilika. Vijana hao wanaodaiwa kutumwa na afande, wanne kati ya sita...
  4. J

    Abdul kortini kwa mashtaka ya kubaka na kulawiti wanafunzi watano

    Mkazi wa Mtaa wa Kyamaizi, Kata ya Kahororo Manispaa ya Bukoba, Abdul Suleiman (30), amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya Bukoba akikabiliwa na kesi mbili za kuwabaka na kuwalawiti wanafunzi watano wa shule za msingi. Kesi hizo zenye jumla ya mashtaka saba, zimesomwa jana Jumatano Agosti 14...
  5. Mkalukungone mwamba

    Aliyehukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka amejinyonga akiwa mahabusu

    Fundi magari na Mkazi wa Kiluvya, Kisarawe, Seleman Mirai Kibiki (49), amejinyonga akiwa mahabusu ya Mahakama ya Wilaya ya Kisarawe, Mkoani Pwani akisubiri kupelekwa gerezani mara baada ya kutiwa hatiani na Mahakama hiyo na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kosa la kubaka na kulawiti Mtoto wake...
  6. Erythrocyte

    Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana

    Ameburuzwa kwenye Mahakama ya Mkoa wa Mwanza akikabiliwa na kosa moja la Ulawiti Amepandishwa leo July 9 baada ya makelele mengi ya wadau kutaka haki itendeke Bado haijajulikana kama ataswekwa Rumande au atapata dhamana. ==== Aliyekuwa Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Yahaya Nawanda, amefikishwa...
  7. Accumen Mo

    The Chanzo: Makosa ya Kulawiti, Kubaka Yameongezeka Tanzania

    Makosa ya kubaka na kulawiti yameendelea kuongezeka Tanzania, ambapo kwa mwaka 2022 makosa ya kubaka 6,827 yaliripotiwa polisi, hata hivyo kwa mwaka 2023 makosa haya yameongezeka kufikia 8,691. Matukio ya kulawiti pia yameongezeka kutoka matukio 1,586 yalioripotiwa mwaka 2022 mpaka matukio...
  8. JanguKamaJangu

    Lindi: Wanaume wawili wahukumiwa kwenda Jela Miaka 50 kwa kosa la kubaka na Utakatishaji Fedha

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Lindi, imewahukumu kwenda jela miaka 30 kwa kosa la ubakaji na miaka 20 kwa kosa la utakatishaji fedha pamoja na kulipa fedha Sh milioni 35 walizoiba na pia Mahakama imeamuru kutaifishwa kwa mali zao. Waliohukumiwa ni Kazil Hamis @Kaftanyi (43) Mkazi wa Dar es salaam na...
  9. mwanamwana

    Afya ya akili: Ambaka kuku hadi kufa!

    Kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Sunday, mkazi wa Kitongoji cha Misungwi Kata ya Usagara wilayani Misungwi mkoani Mwanza, anadaiwa kubaka kuku hadi kufa. Baadhi ya mashuhuda wa tukio hilo wamesema mtuhumiwa alimkamata kuku huyo ambaye alikuwa anataga kisha kumuingiza ndani ya nyumba yake...
  10. MK254

    Video: Gaidi la Jihad lalaumu shetani kwa kulifanya livamie Israel na kubaka mwanamke kwa dakika moja

    Hili gaidi la kiislamu limeamua kufunguka yote baada ya kukamatwa.... Pressed how long the rape lasted, Islamic Jihad terrorist Manar Mahmoud Muhammad Qasem said around 60-90 seconds. The IDF on Thursday put out a video of a Unit 504 interrogation of an Islamic Jihad terrorist named Manar...
  11. Kingsmann

    Rapa Sean 'Diddy' Combs anatuhumiwa kwa ubakaji katika kesi mpya

    P. Diddy amekumbwa na kesi nyingine ya unyanyasaji wa kingono. Nguli huyo ameshtakiwa katika Mahakama Kuu ya Manhattan akidaiwa kumnyanyasa kingono mwanamke ambaye alimnywesha dawa za kulevya mnamo mwaka wa 1991 katika mojawapo ya kesi zilizofunguliwa chini ya Sheria ya Watu Wazima...
  12. JanguKamaJangu

    Ruvuma: Jela miaka 60 kwa kosa kubaka na kumpa mimba Mwanafunzi

    Mahakama ya Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma October 18, 2023 imemhukumu kifungo cha Miaka 60 Jela, Faraji Milanzi Yasini, (20), mkulima na mkazi wa Kijiji cha Ruanda - Mkowela Wilayani Tunduru baada ya kupatikana na hatia kwa kosa la Kubaka na kumpa mimba Mwanafunzi wa Darasa la Saba...
  13. BARD AI

    Dar: Watu Wawili kizimbani wakidaiwa kubaka

    Vijana wawili, Erick Filbert (27) na Jafari Said (23) wakazi wa Wilaya ya Temeke wamefikishwa mbele ya Mahakama ya Wilaya ya Temeke kwa mashtaka ya ubakaji. Wawili hao wamesomewa mashtaka yao wanayodaiwa kuyatenda kwa nyakati tofauti na Wakili wa Serikali, Amedeus Mallya mbele ya Hakimu Mkuu...
  14. Chachu Ombara

    Mchungaji ahukumiwa miaka 70 kwa kubaka watoto

    Mahakama ya Nairobi imemhukumu mchungaji, James Njuguna kifungo cha miaka 70 jela baada ya kupatikana na hatia ya kubaka watoto wadogo wawili wenye umri wa miaka 11 na 14 katika nyakati tofauti kati ya Desemba 24, 2014 na Januari 7, 2015. Mahakama imebaini kuwa mchungaji huyo alitenda makosa...
  15. Robert Heriel Mtibeli

    Kaeni mbali na vibinti vyenye umri wa miaka 2-14; Kama Hautaki Kubaka

    KAENI MBALI NA VIBINTI VYENYE UMRI WA MIAKA 2-14; KAMA HAUTAKI KUBAKA. Anaandika, Robert Heriel Msijesema sikuwaambia; Wewe unajijua kabisa Mkeo anakunyima na kukupangia Michezo ya chumbani kama Ratiba ya CAF. Wewe unajijua kabisa kutongoza hujui, yaani ukitongoza Wanawake 10 huambulii yeyote...
  16. JanguKamaJangu

    Simiyu: Mwenyekiti wa Kitongoji ahukumiwa kwenda jela miaka 30 kwa kumbaka Msichana wa miaka 13

    Makama ya Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu, imemhukumu kifungo cha kwenda jela miaka 30 Mambo John (30) mkulima na mkazi wa kijiji cha Isengwa kwa kosa la kubaka. John ambaye pia ni Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mwanginde ilidaiwa kuwa katika nyakati tofauti kati ya Mwezi January na May 2023 huko...
  17. BARD AI

    Musoma: Watu wanne wadaiwa kubaka kisha kukimbilia Bwawani

    Juhudi za kuwapata watu wanne wanaodaiwa kumbaka na kumjeruhi mama mmoja mkazi wa Manispaa ya Musoma zimegonga mwamba baada ya watu hao kukimbilia kwenye bwawa la Kitaji lililopo Musoma kwa lengo la kujificha. Watu hao wanaodaiwa kukimbilia bwawani humo jana Juni 19, 2023 kwa lengo la kujificha...
  18. BARD AI

    Senegal: Mwalimu wa Madrasa akamatwa kwa tuhuma za Kubaka Wasichana 27

    Jeshi la Polisi Nchini #Senegal, linamshikilia Mwalimu huyo ambaye amekuwa akitafutwa kwa wiki kadhaa baada ya kuripotiwa kuwafanyia kitendo hicho Wanafunzi wake wa Kike aliokuwa akiwafundisha kusoma Kurani. Mshukiwa alitoweka baada ya shutuma hizo kuibuka mapema mwaka huu (2023) kufuatia...
  19. Notorious thug

    Jela miaka 150 kwa kubaka watoto wake watano(5)

    Mkazi wa Ndaleta wilaya ya Kiteto mkoa wa Manyara Jackson Ole Naiko (57) amehukumiwa kifungo cha miaka 150 na faini ya Milioni Tano (5,000,000/=) kwa kosa la kuwabaka watoto wake wa kuwazaa. Hakimu wa kesi hiyo Mosi Sassy amesema mahakama imezingatia ushahidi wa pande zote mbili na kila kesi...
  20. Dexta

    Mchungaji Nurdin Abdallah jela miaka 30 kwa kumbaka mwanaye

    Mchungaji Nurdin Abdallah ambae ni muinjilisti wa vitabu amehukumiwa kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka kwa nyakati tofauti binti yake mwenye umri wa miaka 6. Akitoa hukumu hiyo hakimu mkazi mwandamizi Erick Kimaro wa mahakama ya wilaya ya Magu amesema mahakama...
Back
Top Bottom