kubambikiwa kesi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mdukuzi

    Diamond akiendelea kula kuku wakienyeji atakuja kubambikiwa kesi ya ubakaji

    Unaacha wanawake kariba ya Zari unaenda kudeti na kuku wa kienyeji asiyemudu hata kulipa kodi ya chumba sebule Tabata. Mwanamke mjinga asiyejua kalenda zake,mwanamke unatoka nae bongo mpaka South Africa kumbe yuko period hata hajui gharama ulizotumia kwa tiketi ya ndege na hotel. Kuna siku...
  2. F

    DOKEZO Kituo cha Polisi USA River kinabambikia watu kesi

    Nimeona clip Mkuu wa Mkoa Arusha anasema kuna mwananchi kanunua nyumba kashindwa kukabidhiwa nyumba aliyolipa asilimia 70 na kapewa kesi yaani ujambazi wa kutumia silaha na kituo cha polisi Usa River Arusha. Nathibitisha baada ya ufuatiliaji wa miezi minne (4 ) Kituo cha Polisi Usa River...
  3. R

    Pre GE2025 Mwaka 2024 watu watabambikiwa kesi nyingi kulinganisha na mwaka 2023 kutokana na presha za uchaguzi

    Zipo dalili kwamba wanasiasa wenye misuli watatumia sana mbinu chafu kupunguza kasi wapinzania wao. Zipo dalili zote kwamba watu wenye fedha hasa wafanyabiashara watasumbuliwa na kulazimika kutumia fedha zao nyingi kuwapa wanasiasa kwa mgongo wa kusaidia jamii. Zipo dalili kwamba haki katika...
Back
Top Bottom