kubambikiwa mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. To yeye

    Kutelekezewa mimba VS kubambikiwa mtoto

    Mi naona hii ni mbwaimbwai....mwaga mboga nimwage ugali....anaumizwa mwanamke anaumizwa mwanaume....Yaan hapo kati Yao Kuna Kuna kakarma kametulia.Huna hatia unatelekezewa mimba ....huna hatia unabambikiwa mimba. Aisee,Kaz iendelee
  2. Jan-uary

    Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

    Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba. Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza...
Back
Top Bottom