kubambikiwa mtoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kutelekezewa mimba VS kubambikiwa mtoto

    Mi naona hii ni mbwaimbwai....mwaga mboga nimwage ugali....anaumizwa mwanamke anaumizwa mwanaume....Yaan hapo kati Yao Kuna Kuna kakarma kametulia.Huna hatia unatelekezewa mimba ....huna hatia unabambikiwa mimba. Aisee,Kaz iendelee
  2. Ulichukua hatua gani baada ya kugundua umebambikwa mimba/ mtoto?

    Binafsi sijawahi kubambikwa mimba wala mtoto, ila nimewahi kuhudumia mimba hewa! Nilikuwa nampenda sana naye alikuwa anajua nampenda, siku ya siku akaniambia hazioni siku zake, tulipoenda kupima ikaonekana kweli ana mimba. Siku hiyo nilikuwa na furaha isiyo kifani, kuanzia hapo nikaanza...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…