kubambikiziwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. passion_amo1

    Hili linaweza kuwa suluhisho la kulea watoto wa kubambikiziwa?

    Habari za uzima wakuu? Nikiwa naelekea katika harakati jumatatu njema kabisa, nikakutana na hii kitu hapa. Hii ni HOME DNA TESTS KIT, kama ambavyo wanawake wanaweza kujipima mimba na wanaume wameletewa hii. Kwani Nchini Tanzania zimefika hizi au Ndio kupima kwa kila mtu mmoja mmoja na...
  2. Frumence M Kyauke

    Zipi sababu za wanaume kubambikiziwa watoto wa wanaume wenzao?

    Ndugu zangu kila mmoja wetu achangie mada hii ili tupate kiini cha swala hili. Kuna baadhi ya wanaume wametunza watoto ambao si wao, kuanzia mimba mpaka ukubwani kwa kuwasomesha kwa gharama kubwa pasipokujua kuwa sio watoto wao. Baadhi ya familia zinaishi na watoto wasiokuwa wa baba mwenye...
  3. Z

    Kama Mbowe kabambikiziwa kesi, vipi wenzake 3?

    1. Halfani Bwire Hassan 2. Adam Hassan Kasekwa@Adamo 3. Mohamed Abdillah Lingwenya. Hao ndio washitakiwa wanao daiwa kutumiwa na Mbowe kutekeleza vitendo vya Kigaidi na walifunguliwa Mashitaka hayo tangu mwezi wa nane mwaka 2020, tangia hapo hatukusikia popote pale viongozi wa chadema wakidai...
Back
Top Bottom