kubanwa mkojo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Je, kuna Dawa au Mafunzo ya kumsaidia mtu kutoshikwa haja ndogo mara kwa mara hasa awapo Safarini au Mkutanoni?

    Kikubwa hapa nataka kujua hasa Kitaalamu je, kuna ama Dawa yoyote ile ya Hospitalini au ya Kiutamaduni (Mitishamba) au Mafunzo yoyote yale Mtu anaweza Kutumia au Kuyatumia ili ayatumie na yaweze Kumsaidia asiwe anashikwa na Mkojo mara kwa mara hasa awapo Safarini au akiwa Mkutanoni na kila mara...
Back
Top Bottom