kubishana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. chizcom

    Akili za watanzania zipo kubishana na mawazo ya teknolojia ila ndio wao wao wanazitumia

    Kuna siku nipo mtaani nakutana na msemaji wa kijiwe cha kahawa.Maana kwenye vijiwe vya kahawa kuna wasemaji ijalishi akili yako ikoje kikubwa kuwazidi uwezo kuongea. Mada aliyokuja nayo anasema wazungu ni waongo sana wanadanganya kila kitu.Sasa cha kujiuliza hapo hapo kijiwe cha kahawa kuna...
  2. U

    Kwanini Mapadre wakimya, wastaarabu, wanyenyekevu na wenye subira? Kwanini huwezi kuta wanaropoka au kubishana hovyo vijiweni au vichochoroni?

    Wadau hamjamboni nyote? Sababu ninini? Elimu? Makuzi? Desturi? Mazoea? Kwanini wengineo japo baadhi wapo tofauti? Tunabishana nao mitaa, tunagombana nao barabarani? Tafakuri ya kina kwa wenye hekima Kanisa moja takatifu la Mitume
  3. Teko Modise

    Mkasa wa Afande Mwasifiga alivyopoteza kazi baada ya kubishana na hayati Rais Magufuli

    Leo nimekumbuka mkasa mmoja uliotokea enzi ya awamu ya tano! Ilikuwa ni Julai 16 ya mwaka 2019 Jumanne tulivu tu ndani ya jiji la Mwanza, ghafla Gereza Kuu la Butimba likapata ugeni wa Amiri Jeshi Mkuu, Rais Magufuli. Basi baada ya maofisa wa juu kutonywa kuwa Rais angeweza kufika pale...
  4. Mufti kuku The Infinity

    Je, unamkumbuka huyu. Mtu pekee aliyejaribu kubishana na Jiwe

    Huyu mwamba yupo wapi siku hizi
  5. Hemedy Jr Junior

    Acha kubishana kuhusu Dini. Dini ni biashara za watu

    Mwandishi Hemedyjrjunior /kimodomsafi ........ Allhamudulilah kwa siku nyingine tena allha anazidi kutenda mijuiza Amen. Leo niko na mada. Hakuna dini itakayokupeleka mbinguni tofauti na matendo yako mema yamfurahishayo Mungu. Watu wengi wamekuwa wakikadhania dini njoo uku, twende kule...
  6. J

    Enzi za Dkt. Slaa tungekuwa tunajadili hoja nzito za CHADEMA badala ya kubishana

    Pata Picha Dkt. Slaa ambaye hajapanda Jukwaani kuwahutubia wananchi kwa miaka 7 Hotuba yake pale Furahisha ingekuwaje Lakini leo mjadala mkubwa ni askari polisi Kupiga Picha na mwananchi wa kawaida mkutanoni Mungu wa mbinguni awabariki CHADEMA!
Back
Top Bottom