kuchekesha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Stand up comedians hamuwezi kuchekesha bila kutania dini/imani za watu?

    Najaribu kuangalia Sanaa ya uchekeshaji jinsi inavyopata umaarufu, ni kitu kizuri sana ila sasa binafsi nakwazika namna ambavyo dini ama imani fulani zinavyotumika katika kuchekesha na mbaya zaidi ni kwamba dini inayotumika ni moja sijui kwa nini hawatumii ile dini nyingine kwanza ni kinyume...
  2. Comedians ni nani aliowadanganya kuwa kuchekesha ni kuzungumzia Ngono

    Ama kweli Bongo hakuna wachekeshaji, na kama wapo basi ni wachache sana. Leo Mjanja M1 nimepitia baadhi ya kurasa za wachekeshaji wa Bongo na nimegundua kuwa wengi wanaojiita comedians hawana vipaji vya uchekeshaji. Ukiangalia kila anaejiita comedian Tanzania Maudhui yake mengi yameegemea...
  3. Soma kisa cha kuchekesha cha majamaa zangu

    Hawa majamaa zangu wanambwembe sana mix misifa ya kutosha utafikiri wana undugu na wakina Martin Lawrence. Sasa siku moja walinishtua tushuke maeneo ya sokomatola (kwa wenyeji wa mbeya wanakujua huku) kuna mshkaji kati yetu alikuwa anaenda kuonana na manzi yake walikuwa wamekumbukana maana demu...
  4. Yanga na Simba waanzishe vikundi vya kuchekesha - Vigodoro!

    Klabu ya Yanga wamekuwa wa kuzodoa zodoa tena kwenye media , wasemaji wamejenga chuki kuliko washabiki, wamefanya chuki kubwa sana. Yanga wamesababisha Simba nayo ianze kujibu na kuonekana wajinga lakini upuuzi ulianzishwa na Yanga. Ali Kamwe na Shayo[Privadinho] kama wangepata na wanadada...
  5. V

    Wale wapenda Movies za kuchekesha hasa(elewa neno hasa) mje hapa

    Mm napenda a good laugh,hasa nikishamoka,pembeni nipo na juisi yangu pendwa ya miwa na vichapuza,then niweke muvie Kali ya komedi nichekee mpaka basi. Katika safari yangu ya kucheka nimegundua kuwa kucheka sio rahisi kwani movie itakayokuchekesha Leo kesho utaona ya kitoto so laughing is hard...
  6. Maswali haya je una majibu?

    Masawali haya je una majibu?jibu kisha nitumie majibu(mtihani wa maarifa ya dunia) 1.Kama hela haioti kwenye kwenye miti kwa nini bank zina matawi ? 2.Kwa nini gundi hainati kwenye chupa yake? 3.Kama tunatakiwa tusi-drive wakati tumekunywa kwa nini bar kuna parking? 4.Kama neno...
  7. Kisa Cha kuchekesha kuhusu roho mbaya za walimu wa kibongo

    Wasaalam.. Aisee imepita miaka kipindi npo 1st year udsm Kuna course ya hesabu MT sijui ngapi nimesahau code tulikua tunafundishwa na mkorea mmoja Mambo yakawa yanaenda fresh mpaka siku kesho yake tunafanya test 1, tupo kwenye pindi jamaa akamaliza akaanza kupitia notes zake kwenye projectile...
  8. Je, kuna kuna mchekeshaji ambaye aliwahi kuchekesha na kukonga nyoyo za watu redioni kama Mzee Jangala?

    Kwema wakuu, mishe zinaendeleaje, Wakuu kwa wale wakongwe wa miaka ya 80s, bila shaka mtakuwa mnafahamu mchekeshaji huyu ambae alijizolea umaarufu mkubwa kutokana na fani yake ya uchekeshaji yani comedian. Mzee Jangala alikuwa na timu yake ambayo ilisheheni watu waliokuwa wamebobea katika...
  9. Ni ndoto gani ya kuchekesha ushawahi kupata?

    Mimi leo nikiwa nimelala nimeota naendesha gari yangu aina ya BMW mara Ghafla ikakwama kwenye Tope. Ikabidi nishuke kuisukua Loh! Ile kuamka nakuta nimesukuma kitanda hadi sebuleni. Ni ndoto gani ya kuchekesha ushawahi kuota.
  10. Jambo la kuchekesha ulilofanya ambalo ukikumbuka hata wewe mwenyewe huwa unacheka

    Nakumbuka nilimtania Mwalimu wangu wa shule ya Msingi nikajificha nyuma ya fensi ya nyumbani kwetu Kumbe aliniona bwana. Kesho yake nafika shule tu akaanza na mimi. Nikala viboko. Wewe unakumbuka nini?? Karibu tusimuliane.
  11. Natafuta muvi kali zenye sifa kama hizi!

    Kwanza ziwe za kuchekesha Pili ziwe za kutisha Tatu ziwe za maajabu Nne ziwe na mkono wa kufa mtu Kusiwe na huzuni kwenye muvi hiyo Na pia kama katuni pia napendelea Naombeni tafadhali NA PICHA ZAKE IKIWEZEKANA
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…