Miaka ya nyuma kidogo Mkoani Tabora kuna Mwanasiasa aliyekuwa akigombea Ubunge aliwahi kufunga TV kubwa Pale soko maarufu kwa jina la Soko kuu.
Aliifunga wakati wa kuelekea kampeni za uchaguzi akalipia na king'amuzi watu wakawa wanatazama mechi bure ikiwemo na kulipia kahawa na kashata watu...
Tulidanganywa sana
1. Eti kuna mtu alikuwa akipata mil 7 kwa sekunde kupitia EFD
2. Eti nchi inajenga miundombinu kwa hela za ndani wakati mikopo inakopwa kimyakimya
3. Eti tumeingia uchumi wa kati wakati ilikuwa uongo kabisa.
4. Kuna ajira elfu 13 zilitangazwa kwa mbwembwe sana kumbe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.