Hili jambo sikutaka kuliweka hapa lakini nimeona nitoe sumu.
Nimewadhamini kazi kwa wadau tunao heshimiana sana nikiamini kwamba nimewatoa kanisani mtakuwa waaminifu kwenye kazi za watu, lakini kwa tamaa zenu mmenichafulia PR kwa wazee wenzangu.
Nakumbuka nilivyojifunga kwa maneno ya kinywa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.