Na Mwandishi Wetu – Songea
Leo hii Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ameendelea kurudia madai yale yale yasiyo na mashiko kuhusu mfumo wa uchaguzi na usawa wa kisiasa nchini Tanzania. Katika mkutano wake na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Lissu alitoa...