kuelekea derby

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Angalizo kwa Simba SC kuelekea derby tar 8 March 2025

    Wakuu Assalam Alleikhum. Binafsi nipende kutoa angalizo juu ya upangaji wa kikosi kwa Coach Fadlu na benchi lake la ufundi kuelekea derby jumamosi. Kama kocha Fadlu anataka matokeo,wachezaji wafuatao wasianze kikosi cha kwanza: 1. Ngoma 2. Chamou 3. Mukwala 4.Mpanzu 5.Kapombe Kwa Ubora wa...
  2. M

    Salamu zangu za kwanza kuelekea Derby zinaanzia kwa Uongozi wangu wa Simba Sports Club

    Ndugu Mohamed Dewji Mwenyekiti wa Bodi Bodi ya Wakurugenzi Simba Sports Club DAR ES SALAAM YAH: MECHI YETU DHIDI YA YANGA AFRICANS A.K.A UTOPOLO SIKU YA TAREHE 08 MACHI 2025 Ndugu Mwenyekiti, pokea salamu hizi za dhati kabisa kutoka kwangu mwanachama wa Simba Sports Club. Ndugu Mwenyekiti...
  3. Wachezaji wa kuchungwa kuelekea Derby ya Kariakoo, Yanga Vs Simba

    Derby ya Kariakoo kati ya Yanga na Simba ni moja ya mechi kubwa zaidi nchini, ikijaa ushindani ndani ya uwanja na tambo kutoka kwa mashabiki wa timu hizo mbili za mtaa wa Kariakoo. Hapa ni nyota wa kutazama kwenye derby hii. Kibu Denis Tangu ajiunge na Simba, Kibu amekuwa mwiba hasa kwenye...
  4. Maono: Nimeona Mchezaji wa jezi nyekundu akianguka na hakuamka tena katikati ya mechi

    Amani iwe kwenu wana MUNGU Leo nikiwa katika tafakari usiku wa manane Niliona watu wakiwa uwanjani kukiwa na washangiliaji wengi sana huku team mbili zikicheza moja ilikuwa na jezi nyekundu na moja jezi ya kijani kama majani mabichi kabisa Wakati mpira huo ukaendelea nilimuona mchezaji mmoja...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…