kuelimika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Father of All

    Je yawezekana mtu akasoma na kuongeza ujinga badala ya kuelimika? Tazama wafuatao

    Profesa Ndumilakuwili Kabundi, Profesa Kusitasita Ndalikachako, Profesa Kitita Mwamkumbo Profesa Ukame Mbawala Hawa wana tofauti gani na profesa Vulata au Maji Marefu? Dokta asiyetulia Action Dokta Pindua Chania 'Dokta' Mguujuu Michembe 'Dokta' Ndoto Bitek 'Dokta' Sele Jaffu 'Dokta' Sania...
  2. P

    Kusoma siyo kazi sana, kazi ni kuelimika

    Kadri miaka inavyoenda ndivyo ongezeko la wanafunzi linavyozidi kwenye shule za msingi, sekondari, vyuo, na vyuo vikuu. Na ufaulu pia unaongezeka hadi kufikia hatua ya wasio jua kusoma na kuandika nao wanafaulu. Ila kinachonisikitisha na kunitatiza na kukosekana watu walioelimika. Shida iko wapi?
  3. Mwesiga frolian

    SoC03 Ndoto ya kuelimika ilivyofifia

    UTANGULIZI Kama ilivyo kwa vijana wengi wa kitanzania nilikuwa na ndoto ya kumaliza shule kwa kutaka kusoma kadri ya uwezo wangu ili mwishowe niweze kuhitimu masomo yangu, nipate kazi ambayo ingenisaidia kujikimu na kuinua kipato changu pamoja na kusaidia familia yangu kuondokana na wimbi la...
Back
Top Bottom