c&p from Jebra Kambole on X
Kuna watu wanadhani serikali haihusiki na kupigwa risasi kwa Mzee Kibao, Kutekwa kwa Soka, Kupigwa risasi
sativa na mateso ya watu wengine! Serikali inahusika kwa namna zifuatazo;
1. Kwa Maneno (kuagiza au maelekezo)
2. Kwa Vitendo ( kufanya)
3. Kwa kutotimiza...