Wakuu, kwa miaka mingi tuliambiwa maamuzi yoyote pale USA ni ya taasisi na si mtu mmoja. Kwamba katiba yao ndio inaamua, kwamba hata akija Rais kichaa anaongoza maana yeye si mtoa maamuzi pekeake.
Lakini hiki tunachoshuhudia sasa hivi mbona ni kama Afrika tu?
Yani Trump sasa hivi anaweza...