kufanya interview

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Usimsikilize anacho sema mwenzio mnapo kwenda kwenye usaili pale mpo vitani

    umesubiri kwa muda mrefu then simu hyo “Fika kwenye usaili siku fulan muda huo” umejipanga vzur kusali sana Nondo zimekaa.. Unafika kwenye uwanja wa usaili unakutana na mwenzio pia amekuja kwenye hiyo hiyo Interview.. hapo kuna Kuwaga na watu kazi Yao ni kukupotezea direction tu yan anakupoteza...
  2. Uzi maaluumu wa kupeana hints za hii kazi wanayoenda kufanya interview "Editor II" Taasisi ya elimu (TIE))

    Wakuu kwema?? Naomba nilete huu uzi hapa ili tuweze kupeana hints za hii job Ukwl kwamba hii job imechukua watu wa fani tufauti tofauti kupiga hii interview Naijiuliza ili uweze kudufua hii job unahitaji kujikita kwenye nini hasa? Common predictable question zinaweza kuwa kama zipi? Hii...
  3. Msaada jinsi usaili wa electrical technician unavyokuwa

    Utumishi tayari imeita vijana kwenye interview post: electrical technician II, kwa wale ambao tayari mnau zoefu na interview hizi mmeshawahi kuzifanya naomba tusaidiane kujuzana namna ya maswali yanavyokuwa kuwa huko katika interview zote tatu Written interview, practical interview, na Oral...
  4. Kwa mliokuwa Shortlisted (Electrical II) TRC na mliowahi kufanya interview za electrical technician utumishi

    Habari za muda huu ndugu zangu naomba kufahamishwa kama kuna mtu alishawahi kufanya interview za electrical technician utumishi tusaidiane namna ya maswali yanavyokuja katika interview zote tatu written, practical and oral Au pia kwa mtu yeyote mwenye uelewa na interview hizo ruksa kushare...
  5. Usaili Shirika la MSF - Doctors without borders

    Habari humu ndani. Naomba kujuzwa kwa wenye uzoefu na wanaojua maswali yanayoulizwa kwenye interview za AJIRA MSF. Shirika hili kwa pale Liwale linajishughulisha na mradi wa Afya ya Mama na Mtoto, sasa pia ningependa kuuliza Je maswali yao katika usaili wao yatahusisha tu Afya ya mama na...
  6. E

    Naomba mwongozo ya interview ya Junior Safety officer

    Habari ya muda huu, Mimi ni recent graduate wa Bachelor degree, nilituma CV ya kuomba position ya Junior Safety Officer....na hatimaye leo jioni nimepigiwa simu kuwa kesho nifike kwa ajili ya interview. Naomba muongozo na vitu vya kuzingatia maana ndio interview yangu ya kwanza. Natanguliza...
  7. Ameibiwa leseni wakati anajiandaa kwenda interview, afanye nini?

    Habari wapendwa nipo na ndugu aliomba kazi za afya zilizotangazwa yeye ni clinical officer na alifanikiwa kuchaguliwa baada ya mtihani wa usaili. Sasa wakati anasubr siku ya oral interview ameibiwa pochi yake ikiwa na leseni yake ya kazi. Naomba msaada wenu afanyeje ili aweze kuwa eligible na...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…