Hii inaweza kumtokea mtu yoyote haijalishi unahusika Moja kwa Moja au lah!
Mimi nakumbuka Kuna siku rafiki yangu akuja na mteja anauza dsk 1tb kwa 20 tu basi kwasababu nilimwambiaga nahitaji hivo akaamua kumleta muuzaji kwangu
Basi sijui nn kilitokea Ila nikajikuta nimekataa kununua ile zaga...
Nipende kusema tu," kila neno likutokalo mdomoni, jaribu kilitafakari kabla halijatoka, maana siku ya mwisho utalitokes hesabu"
Kulitolea hesabu, inamaanisha utalielezea ulikuwa una maana gani. Ndugu zangu,kuna Roho ya Mpinga Kristo Yesu,inatembea katika jamii na dunia ,kuweni waangalifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.