Sema tayari kimeumana! Hawa Pamba Jiji Championship inawaita mzunguko wa kwanza tu 😃
Uongozi wa Klabu ya Pamba Jiji Fc unautaarifu umma kuwa umefikia makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja mkataba na Kocha Mkuu Goran Kopunovic.
Lakini pia umefikia makubaliano ya kusitisha mikataba ya...