I salute you kinsmen.
TFF wamekuwa wakituvunja moyo kila siku linapokuja swala la team yetu ya taifa.
Kwanza wanatuletea makocha wabovu na wa hovyo sana nadhani kuna maswala ya 10% mule ndani .
KAMA NI KIGEZO CHA UWEZO WAKE.
Kumpa team huyu moroco tangu mwanzo watu tulisema huyu ana uwezo...
Last year tumechezaAFCON na kikosi hiki hiki .
Watanzania acheni siasa kocha asepe tutafute kocha mpya, kocha hana uwezo shida yetu ni kuprogress AFCON sio kuingia AFCON acheni siasa
I will be short
Soma Pia: FT: AFCON 2025 Qualification | Tanzania 0-0 Ethiopia | Benjamin Mkapa Stadium |...
Habari ndugu zangu,
Kundi letu lipo wazi mno.. ( Tanzania, DRC, Guinea na Ethiopia)
Ngoja niwakumbushe jambo, kuelekea Afcon ya 2019, Tulianza na kocha mzawa Salum Mayanga.
Tukadroo 1-1 mchezo muhimu wa kwanza na Lesotho tukiwa nyumbani. Tukafukuza kocha...tukamleta kocha mpya mnigeria...
Mgunda has created a conflict of interest by working for both Taifa Stars and Simba SC.
1. Favoritism from Simba players: Mgunda selects benched Simba players to play for Taifa Stars just because he is familiar with these players during the open season. He seems to have no knowledge of other...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.