kufungiwa ali kamwe

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. LICHADI

    Ali Kamwe kosa la kwaza ulilianzia hapa

    1.Ulivunja Sheria mojawapo ya usiwaonyeshe walimwengu mafanikio yako lile saga la juzi kuwaita waandishi wa habari kuwa umemjengea mama nyumba usione watu wanakupenda fanya mambo yako kimya kimya walimwengu wivu mwingi 2.Kaa vizuri na baba yako mapema sana malizana nae yule mzee juzi aliongea...
  2. Pdidy

    Marefa mnawafungia mechi 2-4, hao wasemaji wanao waambia ukweli na udhaifu wenu mnawafungia miaka miwili mna akili kweli nyie?

    Hili soka la hii nchi linashangaza sana. Kuna majinga yanaingia uwanjani na matokeo yaoo kisa mabosi wa Mpira wamewambia hakikisha hii timu inashinda. Refa anafanya ujinga uwanjani. Anaicost timu mashabiki wanaumia wanateseka unaambiwa Refa kaaribu muwakanye unatishia kufungiaa watu hamtaki...
Back
Top Bottom