Waziri wa ulinzi wa Israel bwana Gallant ameeleza kuwa mashambulizi ya Israel dhidi ya Hezbollah, yamepunguza sana uwezo wa Hezbollah wa kupigana, na Hezbollah kwa sasa hawana mfumo wa kusimamia uendeshaji wa vita.
Galant ameeleza kuwa Israel imefanikiwa kutengeneza mwanya utakaowezesha...
Katika Mikutano Miwili Mikubwa ya China iliyomalizika hivi karibuni, China, kwa mara nyingine, imesisitiza kuwa itahimiza ufunguaji mlango wa hali ya juu. Ikiwa ni nchi ya pili kwa ukubwa wa uchumi duniani, nia thabiti ya kufungua mlango zaidi ya China bila shaka italeta fursa kubwa kwa dunia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.