kuhama dini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Naamini kama hakungekuwa na vitisho vya kuhama dini. Watu wengi wasingekuwa kwenye dini zilizopo

    Nimegundua watu wengi wako kwenye dini walizoko kwa mashinikizo ya kijamii na sio hiyari. Nimeona vijana wawili walipohama kutoka katika dini zao za kikristo na kuhamia ukristo mwingine wazazi waliwakataa na kugoma kuwasaidia. Tena mmoja kaishia form 2. Juzi nimemuona kijana mmoja Muislam kaja...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…