kuharisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo πŸ™„πŸ˜€

    Mbegu mbili unaweza kuharisha mpaka ubongo πŸ™„πŸ˜€ Wauzaji muwe mnasema kuwa tukimeza tusiende kazini
  2. Kituo cha Afya cha Sabasaba katika Manispaa ya Morogoro, kimezidiwa na wagonjwa wa kuharisha na kutapika

    Kituo cha Afya cha Sabasaba katika Manispaa ya Morogoro, kimezidiwa na wagonjwa wa kuharisha na kutapika wenye dalili zote za ugonjwa wa Kipindupindu, ambapo usiku wa kuamkia Julai 16, ITV imekuta wagonjwa 12 wakiwa wametandikiwa magodoro maeneo mbalimbali ikiwemo sakafuni, kwenye mabenchi ya...
  3. S

    Sijapata choo kwa muda mrefu licha ya kumeza vidonge vya kuharisha

    Nina maumivu ya Abdomen na sijapata choo tokea vyakula nilivyokula Alhamisi iliyopita. Jana nimekunywa dawa za kuharisha vidonge vinne Kwa muda mmoja (inatakiwa Kunywa kidonge kimoja) lakini mpaka sasa nimeenda sijaharisha ni tumbo tu linanguruma kutishia kuharisha niikifika chooni naishia...
  4. Msaada: Mtoto mchanga kuharisha na kulia usiku kucha

    Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo, Mungu ametujalia mimi na mke wangu tumepata mtoto. Ila ana siku mbili halali kabisa usiku. Analia tu na ana harisha kamba kamba kama makamasi. Hospital wanasema ni kawaida eti kwa mtoto mchanga. Sasa nashindwa kuelewa kawaida kivipi mtoto kutokufunga...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…