kuhatarisha maisha

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Tunaomba mamlaka na wamiliki waingilie kati kukemea na kuongea na madereva wao wa mabasi kwa vitendo hivi vya kuhatarisha maisha ya watu

    Kwenye hiyo video hapo, huyo dereva wa bus alikua na haraka gani ya ku overtake sehemu kama hiyo na anaona kuna mtu anakuja mbele yake. Na bado unampiga taa kali usoni. Hawa madereva hawana familia nini?
  2. G

    Muarabu Muislamu wa Israel alietekwa na Hamas arejea kwenye familia yake baada ya wanajeshi wa Israel kuhatarisha maisha kumuokoa ukanda wa Gaza

    Jina: Kaid Farhan al-Qudi, Baba wa watoto 11 Dini: Muislamu Alitekwa October 7 mwaka jana Uraia: Israel Asili:Muarabu Kikosi cha Shayetet 13, Brigedi ya 401 kilidiriki kufanya maamuzi magumu yenye kuhatarisha maisha yao kwenda Gaza ili kumuokoa Kaid Farhan al-Qudi kwenye maeneo hatari...
  3. India yapiga marufuku Dawa 156 za FDC, zadaiwa kuhatarisha maisha

    India imepiga marufuku dawa 156 za mchanganyiko zilizotengenezwa kwa dozi maalum (FDC) zinazotibu homa, maumivu, mzio nk Hatua hiyo ni baada ya wasiwasi juu ya kutokuwepo kwa uhalali wa Kisayansi na hatari zinazoweza kutokea kwa Afya ya Binadamu atakayetumia dawa hizo Miongoni mwa dawa hizo ni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…