Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasalimu washiriki wa mashindano ya kimataifa ya kusoma na kuhifadhi Quran yaliyofanyika leo kwenye uwanja wa Taifa wa Benjamin Mkapa muda mfupi kabla ya kuanza ziara yake ya kikazi mkoani Tanga, tarehe 23 Februari, 2025.
dkt. samia
dkt. samia suluhu hassan
jamhuri
jamhuri ya muungano
kimataifa
kuhifadhikuhifadhiquran
kusoma
mashindano
muungano
quran
rais
rais wa jamhuri
samia
samia suluhu
samia suluhu hassan
suluhu
tanzania
Ile Siku muhimu ya fainali ya mashindano ya Kuhifadhi Quran ndio Leo
Tukio liko mubashara TBC, ZBC na Clouds tv
Mgeni rasmi ni Mpendwa wetu mh Rais Samia
Karibuni sana
https://www.youtube.com/live/ml6IdLNv8EM?si=LTNVm5mk9dHja8kE
https://www.youtube.com/watch?v=dt5CakYo9AA
Leo kutakuwa na mashindano makubwa ya kuhifadhi Quran kwa wanawake katika uwanja wa Mkapa.
Mgeni rasmi atakuwa ni Rasi wa Tanzania - Dr Samia
Mashindano yataonyeshwa Live kupitia channel mbali duniani
Wanawake wameuhifadhi msahafu mzima wakiwemo watoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.