kuhonga katika mapenzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

    1. Ni bei ya Samaki kilo moja 2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki 3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi 4. Sukari kilo 3 5. Dona kilo 4 6. Mchele super kilo 4 7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4 8. Soda take away 10 9. Luku unit 28 10. Tofali za ujenzi 10
  2. Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba na magari nyoyo zenu zipoje?

    Hivi wanaume wenzangu mnaohonga nyumba Mpaka magari Nyoyo zenu zipoje? Maana mimi nimejaribu ELFU KUMI tu yaani hapa natetemeka mwili mzima jasho, halikauki yani nahisi kuzimia zimia😂😂
  3. Ukiona unatumia pesa nyingi kuhonga ujue haupendwi

    Sina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi. Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi. Naishia hapa naomba kuwasilisha.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…