Sina haja ya salamu ila nataka tu kuwakumbusha ndugu zangu wa kiume ukiona unatumia nguvu kubwa ya kifedha kuendesha mahusiano jua tu huyo mwanamke hakupendi.
Mahusiano sio magumu wala sio ghali kiasi hicho iwapo utapata mtu sahihi.
Naishia hapa naomba kuwasilisha.