Ni aibu sana kwa mwanaume kuitelekeza familia yake kwakisingizio cha kuachana / kukosa maelewano na mwanamke aliyemzalisha. Sifa kubwa inayo mueleza mwanaume ni wajibu wake kwa familia yake .
Mwanaume aliyekamilika hawezi kukubali watu wengine wamlelee watoto wake wakati yeye yupo hai , that is...
Kama mkeo anafanya kazi...
Majukumu ya ndani unaysimamia mwenyewe vizuri.
Jukumu la kodi pia unalisimamia wewe mwenyewe vizuri.
KUNA HAJA YA KUMPA HELA YA NAULI NA YA KULA AKIENDA KAZINI?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.