kuhutubia taifa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. S

    Tundu Lissu kuhutubia Taifa leo 01/01/2025 majira ya saa 6 mchana

    Habari ndio hio wadau kwahiyo kaeni mkao wa kula.
  2. N

    Urudishwe utaratibu wa Rais kuhutubia taifa, machafuko na maafa yasiyokuwa na majibu yanaongeza sana

    Tanzania kwa sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, masuala ya ubakaji, watu kufa au kuugua bila taarifa, Afya kuwa ovyo n.k Nchii hi msemaji mkuu ni Rais, kwanini usirudi utaratibu Rais wa nchi kuhutubia taifa kila mwezi? Hii italeta dira ya nchi na taswira nzima na huenda hata...
  3. BARD AI

    Ruto kuhutubia Taifa usiku huu, kuna uwezekano akatangaza hali ya hatari

    KENYA: Rais William Ruto anatarajiwa kuhutubia Taifa usiku wa leo Juni 25, 2024 ikiwa ni siku iliyotawaliwa na Maandamano katika maeneo mbalimbali ya Nchi hiyo yakiongozwa na Vijana wenye Umri Mdogo (Gen Z) Hatua ya Ruto inakuja wakati taarifa zikieleza takriban Watu 10 wameuawa kwa...
  4. Erythrocyte

    Zanzibar: Freeman Mbowe kuhutubia Taifa kwenye Maadhimisho ya siku ya Wazee Duniani

    Ikiwa leo ni siku ya Wazee ya Kidunia ,, Kitaifa jambo hilo linawakilishwa na Wazee wa Chadema (BAZECHA) , hii ni baada ya Wazee wa vyama vingine kugeuka Chawa wa Watawala , na linafanyika Zanzibar , Tayari Mwamba wa Siasa za Tanzania , Ustaadh Aboubakar Mbowe amewasili Zanzibar kwa ajili ya...
  5. Erythrocyte

    Baada ya kuzuiliwa kuingia Ngorongoro Tundu Lissu kuhutubia Taifa na Dunia mchana huu

    Makamu Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu , ambaye yuko Ngorongoro kwa ziara ya kikazi , na ambaye amezuiliwa kuendelea na ziara hiyo kinyume cha sheria za nchi , kwa lengo la kuwalinda Waarabu ili waendelee kutesa Wamasai , Mchana huu ATAHUTUBIA TAIFA NA DUNIA ILI KUELEZA KILA KITU KUHUSU MKASA...
  6. Erythrocyte

    Mapokezi ya Tundu Lissu yapamba moto, apangiwa kuhutubia taifa jukwaani siku hiyo hiyo Temeke

    Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke. Habari...
  7. The Sheriff

    Kenya 2022 Raila Odinga akataa kuyatambua matokeo ya uchaguzi wa Rais

    Aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais nchini Kenya na kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anatarajiwa kuzungumza na Wakenya kupitia vyombo vya habari leo Jumanne, Agosti 16, 2022. Taarifa hiyo iliyotolewa na Dennis Onsarigo ambaye amekuwa msimamizi wa mawasiliano katika kampeni...
  8. JanguKamaJangu

    Rais Kenyatta avunja kanuni, amnyima Naibu wake fursa ya kuhutubia Taifa

    Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta amekataa kumpa fursa Naibu wake kuhutubia taifa katika maadhimisho ya Siku ya Madaraka, Juni Mosi, 2022 Hii ni mara ya kwanza Ruto amekosa kupewa fursa ya kuhutubia taifa tangu Kenyatta alipoingia madarakani mwaka 2013. Hatua ya Kenyatta imetafsiriwa na raia wa...
  9. Naipendatz

    Rais Samia Suluhu Hassan kulihutubia Taifa - Desemba 8, 2021

Back
Top Bottom