Kuna makampuni, na watu Binafsi ni wezi wa kimya kimya, pia ukijaa kwenye mfumo wanakuibia.
Tarehe 16, Nikaenda polisi, kila siku Longo longo. nikawachek hawa makampuni Binfsi wanataka pesa kabla ya kazi.
Pia soma: Ilikuwaje ukaibiwa simu??
Ila nilipowasikiliza Vizuri hawa jamaa, nikaona...