kuing'oa ccm madarakani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Pre GE2025 Wassira: Wanaosema CCm imekaa sana walikuwa wapi wakati tunadai uhuru

    "Ndani ya nchi yetu kuna vibaraka ambao wanasema CCM imekaa muda mrefu sana, na mimi nawauliza walikuwa wapi wakati tunadai uhuru, nawauliza tulipokabidhiwa uhuru tulipatana nao tutakaa kwa muda gani? Kama wana huo mkataba wauoneshe" Stephen Wasira, Makamu Mwenyekiti Bara wa Chama cha Mapinduzi...
  2. Idugunde

    Pre GE2025 CHADEMA ifanye mapinduzi ya ndani kwanza ili kuing'oa CCM

    Kwanza kabisa ni kuwag'oa viongozi wenye vinasaba na CCM kama Mbowe na Mnyika. Pili ni kuleta mabadiliko makubwa kwa kuwapa elimu Wananchi kuwa CCM sio ile ya enzi za Mwalimu bali sasa ni ya wapigaji. Haya ndio mapinduzi ya kweli kama ya yale ya Cuba yaliowaondoa wanyonyaji. Pia soma...
Back
Top Bottom