Tunapenda nchi iendelee lakini wenye madaraka hawapendi iendelee kwa kuwa hawapo tayarhi kupokea ushauri,mwaka 2016, 17 nilifanya kazi hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwa kujitolea kitengo cha damu,kuna kipindi mashine ya kutengenezea blood components (PACKED RBCs,FFP, Plateletes nk) injinia...