Kuna baadhi ya watu wameamua kutokuwa na watoto na wana sababu zao za msingi,
Sababu zao,
Hawataki kujipa kazi ya kulea kwasababu kulea ni kazi kama kazi nyengine uzijuazo.
Hawataki matatizo endapo mtoto akiwa pasua kichwa mbeleni
Hawaamini kuwa wanaweza kuwa wazazi bora kwa mtoto n.k
EWE...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.