Moja ya vitu sitasahau katika maisha yangu ni pamoja na kipindi nilichoishi kwa mtu ambaye ni almost ndugu yangu.
Ilikuwa miezi mitatu tu lakini nilihisi ni milenia tatu!
Na mwisho wa siku sikulipwa mishahara yote!
Nakumbuka nilivyokuwa nikilazimika kumwibia ili nisife njaa. Hiyo inaniuma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.