Ndugu zangu natumaini mpo salama lengo la thread hii ni kuhamasishana sisi binadamu kuishi kwa upendo na kutokuwa na chuki baina yetu.
Hamna mtu ambaye amekamilika kwenye hii dunia ila unakuta watu wanatumia mapungufu ya mtu kama yeye amekamilika.
Nazidi kusisitiza tu tuishi kwa upendo bila...
Lengo la dini ni kuhamasisha waumini wake kuishi maisha ya upendo na yenye nidhamu kwenye jamii. Tunafundishwa kutambua yapi ya kufanya (mema) na yapi ya kutokufanya (mabaya yenye machukizo kwetu na kwa Mwenyezi Mungu).
Inashangaza sana watu wenye utashi wa kutambua mema na mabaya wanafanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.