kuishi kwa upendo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Kuna watu wanaishi kama hawatakufa tubadilike tutubu tumrudie Muumba

    Ndugu zangu natumaini mpo salama lengo la thread hii ni kuhamasishana sisi binadamu kuishi kwa upendo na kutokuwa na chuki baina yetu. Hamna mtu ambaye amekamilika kwenye hii dunia ila unakuta watu wanatumia mapungufu ya mtu kama yeye amekamilika. Nazidi kusisitiza tu tuishi kwa upendo bila...
  2. Tuishi upendo tunaofundishwa kwenye imani zetu ili tuwe vielelezo bora vya imani zetu

    Lengo la dini ni kuhamasisha waumini wake kuishi maisha ya upendo na yenye nidhamu kwenye jamii. Tunafundishwa kutambua yapi ya kufanya (mema) na yapi ya kutokufanya (mabaya yenye machukizo kwetu na kwa Mwenyezi Mungu). Inashangaza sana watu wenye utashi wa kutambua mema na mabaya wanafanya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…