kuitwa majina halisi na watoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. SubTopic

    Ni kwanini watu wengi hawapendi kuitwa majina yao halisi na watoto wao?

    Kwa mfano baba anaitwa Juma hatotaka mwanae amuite wee Juma Ila atataka amuite baba au mama anaitwa Esta. Hatoruhusu mtoto wake amuite Esta Ila amuite mama.Je Kuna shida gani mwanao akikuita jina lako?
Back
Top Bottom