Eh,
Nyie watoto acheni kumsumbua Mungu jamaan
Leo nimekaa kwenye lounge ya ofisi moja mjini, naskia wadada wawili wanaongea kwa kutiana moyo
Maongezi ya mmoja yalikuwa hivi,
"Nimechoka kuitwa Mshangazi, Mungu nipe mume please 🙏 "
Nilitaka kumjibu lakini user yangu ikawa imefika
Wewe...