Nataka kujua ndio ujanja, umaarufu, ukisasa, usomi, kiburi, majigambo, majivuno, dharau, umwamba au!!?
Na tena wakati unafanya hivyo upo kwako na mlishajenga pa kuishi na mwenza anakushirikisha Kila jambo la kifamilia analofanya!
MSAADA TAFADHALI, sio kwamba natumika baadae nitangulizwe baada...